Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Maandamano ya upizani DRC yatishia kuapishwa kwa Rais Tshisekedi

Felix Tshisekedi Tshilombo atangazwa rais mteuli wa DR Congo

Felix Tshisekedi Tshilombo atangazwa rais mteuli wa DR Congo Source: AP

Wawili kati ya wagombea wakuu wa upinzani kwenye uchaguzi wa Disemba mwaka jana nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wameitisha maandamano Jumamosi wakati wa kuapishwa kwa Rais Felix Tshisekedi kuongoza muhala wa pili.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Wawili kati ya wagombea wakuu wa upinzani kwenye uchaguzi wa Disemba mwaka jana nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wameitisha maandamano Jumamosi wakati wa kuapishwa kwa Rais Felix Tshisekedi kuongoza muhala wa pili.


Tshisekedi alishinda kwa kishindo uchaguzi wa tarehe 20 Disemba, lakini uchaguzi huo uligubikwa na madai mengi ya udanganyifu, changamoto za kiufundi na kasoro nyingine.

Viongozi wawili wa upinzani, Martin Fayulu na Moise Katumbi pamoja na wapinzani wengine, waliomba uchaguzi mpya, ombi ambalo lilitupiliwa mbali na serikali.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now