Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Maandamano yaendelea kuitikisa Nigeria

Maandamano nchini Nigeria

Watu waandamana katika eneo la Lekki mjini Lagos, Nigeria. Source: AP

Wa Nigeria wana endelea kufanya maandamano dhidi ya ukatili wa jeshi la polisi katika mitaa ya Lagos, wakivunja amri ya serikali yakuto toka nje usiku.


Published

By Allan Lee

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Wa Nigeria wana endelea kufanya maandamano dhidi ya ukatili wa jeshi la polisi katika mitaa ya Lagos, wakivunja amri ya serikali yakuto toka nje usiku.


Maandamano hayo yame jumuisha vurugu, na jeshi la polisi kuwa fyatulia risasi waandamanaji, hatua ambayo ime sababisha ukosoaji mkubwa dhidi ya vitendo hivyo kutoka kote duniani.

Hata hivyo, mamlaka husika wame dai hakuna aliye uawa katika visa hivyo ila, mashirika ya watetezi wa haki za binadam yamepinga kauli hiyo.

Madai ya waandamanaji yamekuwa mapana na kwa sasa yamejuisha wito kwa serikali iwajibike, heshima kwa haki za binadam pamoja nakusitishwa kwa ufisadi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now