Wa Nigeria wana endelea kufanya maandamano dhidi ya ukatili wa jeshi la polisi katika mitaa ya Lagos, wakivunja amri ya serikali yakuto toka nje usiku.
Maandamano hayo yame jumuisha vurugu, na jeshi la polisi kuwa fyatulia risasi waandamanaji, hatua ambayo ime sababisha ukosoaji mkubwa dhidi ya vitendo hivyo kutoka kote duniani.
Hata hivyo, mamlaka husika wame dai hakuna aliye uawa katika visa hivyo ila, mashirika ya watetezi wa haki za binadam yamepinga kauli hiyo.
Madai ya waandamanaji yamekuwa mapana na kwa sasa yamejuisha wito kwa serikali iwajibike, heshima kwa haki za binadam pamoja nakusitishwa kwa ufisadi.
Share






