Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Maandamano yasambaa marekani baada ya kifo cha George Floyd

Waandamanaji waharibu gari ya polisi mjini Atlanta maandamano ya kifo cha George Floyd yakisambaa kote nchini Marekani

Waandamanaji waharibu gari ya polisi mjini Atlanta maandamano ya kifo cha George Floyd yakisambaa kote nchini Marekani. Source: Atlanta Journal-Constitution

Hasira kuhusu kifo cha mumarekani mweusi alipokuwa akikamatwa nchini Marekani, imezua maandamano makali katika miji kadhaa ya nchi hiyo.


Published

By Sonia Lal

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Hasira kuhusu kifo cha mumarekani mweusi alipokuwa akikamatwa nchini Marekani, imezua maandamano makali katika miji kadhaa ya nchi hiyo.


George Floyd alifariki baada ya afisa wa jeshi la polisi, kufinya shingo yake akitumia goti lake kwa zaidi ya dakika tisa.

Derek Chauvin ndiye afisa aliye husika katika tendo hilo na kwa sasa, amekamatwa nakufunguliwa mashtaka ya mauaji, yeye pamoja na maafisa wenzake watatu wamefutwa kazi.

ONYO: Taarifa hii ina sauti na maneno yanayo khera


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now