Hasira kuhusu kifo cha mumarekani mweusi alipokuwa akikamatwa nchini Marekani, imezua maandamano makali katika miji kadhaa ya nchi hiyo.
George Floyd alifariki baada ya afisa wa jeshi la polisi, kufinya shingo yake akitumia goti lake kwa zaidi ya dakika tisa.
Derek Chauvin ndiye afisa aliye husika katika tendo hilo na kwa sasa, amekamatwa nakufunguliwa mashtaka ya mauaji, yeye pamoja na maafisa wenzake watatu wamefutwa kazi.
ONYO: Taarifa hii ina sauti na maneno yanayo khera
Share





