Maelfu waandamana dhidi ya mapinduzi yakijeshi Sudan

Mwandamanaji ashika bendera ya Sudan katika maandamano yanayo unga serikali yakiraia mjini Khartoum, Sudan.

Mwandamanaji ashika bendera ya Sudan katika maandamano yanayo unga serikali yakiraia mjini Khartoum, Sudan. Source: EPA

Taifa la pembe ya Afrika la Sudan, limekumbwa kwa maandamano dhidi ya mapinduzi yakijeshi ambayo yame waacha watukadhaa majeruhi nawengine wengi kuuawa.


Maandamano hayo yali anza baada ya tangazo la mkuu wa jeshi la Sudan Abdel Fattah al-Burhan, ambaye ni kiongozi mwenye mamlaka makuu Sudan, kuivunja serikali ya mpito iliyokuwa na majukumu ya kuongoza taifa hilo katika kurejesha utawala wa kiraia.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Maelfu waandamana dhidi ya mapinduzi yakijeshi Sudan | SBS Swahili