Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Maelfu waandamana dhidi ya mapinduzi yakijeshi Sudan

Mwandamanaji ashika bendera ya Sudan katika maandamano yanayo unga serikali yakiraia mjini Khartoum, Sudan.

Mwandamanaji ashika bendera ya Sudan katika maandamano yanayo unga serikali yakiraia mjini Khartoum, Sudan. Source: EPA

Taifa la pembe ya Afrika la Sudan, limekumbwa kwa maandamano dhidi ya mapinduzi yakijeshi ambayo yame waacha watukadhaa majeruhi nawengine wengi kuuawa.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Taifa la pembe ya Afrika la Sudan, limekumbwa kwa maandamano dhidi ya mapinduzi yakijeshi ambayo yame waacha watukadhaa majeruhi nawengine wengi kuuawa.


Maandamano hayo yali anza baada ya tangazo la mkuu wa jeshi la Sudan Abdel Fattah al-Burhan, ambaye ni kiongozi mwenye mamlaka makuu Sudan, kuivunja serikali ya mpito iliyokuwa na majukumu ya kuongoza taifa hilo katika kurejesha utawala wa kiraia.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now