Siku hiyo ya huzuni huadhimisha kampeni ya Gallipoli, katika nchi ya Turkiye wakati wa Vita vya Pili vya Dunia, na wanajeshi wa Australia na New Zealand ambao walipigana katika migogoro inayofuatana na wanao endelea kuhudumu katika jeshi leo. pamoja
Huduma za ANZAC Day zilianza alfajiri ya Jumanne (25 Aprili 2025) kote nchini, kuwa enzi watu walio hudumu katika migogoro ya kale pamoja na wanao hudumu leo.
Maelfu yawa Australia walijumuika katika ibada za alfajiri katika miji, vitongoji na vijijini katika maadhimisho ya 108 yakutua Gallipoli wakati wa Vita vya kwanza vya Dunia.