Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Magufuli: Wanafunzi wajawazito hawata ruhusiwa darasani

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli  akizungumza na waandishi wa habari  katika ikulu

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli akizungumza na waandishi wa habari katika ikulu Source: SIMON MAINA/AFP/Getty Images

Imekuwa wiki yenye matukio chungunzima katika ukanda wa Mashariki ya Afrika, hata hivyo, tangazo la rais wa Tanzania John Pombe Magufuli akiwapiga marufuku wasichana wajawazito na walio jifungua kurejea shuleni, lili tawala vyombo vya habari. Bonyeza hapo juu kwa makala kamili.


Published

By SBS Swahlii

Source: SBS



Share this with family and friends


Imekuwa wiki yenye matukio chungunzima katika ukanda wa Mashariki ya Afrika, hata hivyo, tangazo la rais wa Tanzania John Pombe Magufuli akiwapiga marufuku wasichana wajawazito na walio jifungua kurejea shuleni, lili tawala vyombo vya habari. Bonyeza hapo juu kwa makala kamili.



Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now