Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mahakama yapiga BBI nyundo

Raila Odinga na Rais Uhuru Kenyatta wakiwa na ripoti ya BBI

Raila Odinga na Rais Uhuru Kenyatta wakiwa na ripoti ya BBI Source: PSCU

Mchakato wa BBI umopekea pigo kubwa baada ya majaji nchini Kenya, kusema rais Uhuru Kenyatta alifanya makosa kadhaa ya kikatiba alipo anzisha mchakato huo wa mabadiliko ya kikatiba.


Katika uamuzi uliosomwa kupitia kanda ya video na majaji watano kwa muda wa masaa takriban manne, majaji hao walisema kwamba jopo la wanachama 14 lililobuniwa kuongoza mchakato huo, lililoongozwa na aliyekuwa Seneta wa Garissa, marehemu Yussufu Haji lilikuwa kinyume na sheria.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.

 


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now