Katika uamuzi uliosomwa kupitia kanda ya video na majaji watano kwa muda wa masaa takriban manne, majaji hao walisema kwamba jopo la wanachama 14 lililobuniwa kuongoza mchakato huo, lililoongozwa na aliyekuwa Seneta wa Garissa, marehemu Yussufu Haji lilikuwa kinyume na sheria.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.





