Mahasimu Sudan wakubali kusitisha vita kwa siku 7

Sudanese Gen. Abdel-Fattah Burhan, head of the military council

udanese Gen. Abdel-Fattah Burhan, head of the military council Source: AAP

Pande hasimu nchini Sudan, zimekubaliana kusitisha mapigano kwa siku saba kuanzia Jumatatu.


Kwa mujibu wa wizara ya mambo ya ndani ya Marekani, pande hizo kwa mara ya kwanza zimefanya makubaliano na kutia sahihi zao.

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amewataka Watanzania kuacha kulalamika ugumu wa maisha na badala yake wachukue hatua kwa kuiondoa CCM madarakani.

Polisi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wametumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji katika mji mkuu Kinshasa.

Bonyeza hapo juu kwa makala kamili kutoka kwa mwandishi wetu Jason Nyakundi.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service