Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mahasimu Sudan wakubali kusitisha vita kwa siku 7

Sudanese Gen. Abdel-Fattah Burhan, head of the military council

udanese Gen. Abdel-Fattah Burhan, head of the military council Source: AAP

Pande hasimu nchini Sudan, zimekubaliana kusitisha mapigano kwa siku saba kuanzia Jumatatu.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Pande hasimu nchini Sudan, zimekubaliana kusitisha mapigano kwa siku saba kuanzia Jumatatu.


Kwa mujibu wa wizara ya mambo ya ndani ya Marekani, pande hizo kwa mara ya kwanza zimefanya makubaliano na kutia sahihi zao.

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amewataka Watanzania kuacha kulalamika ugumu wa maisha na badala yake wachukue hatua kwa kuiondoa CCM madarakani.

Polisi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wametumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji katika mji mkuu Kinshasa.

Bonyeza hapo juu kwa makala kamili kutoka kwa mwandishi wetu Jason Nyakundi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now