Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Majira ya joto ya Australia yaendelea kuwa marefu, wakati majira ya baridi yakuwa mafupi

Watu wajumuika katika ufukwe wa Bondi Beach mjini Sydney katika majira ya joto

Watu wajumuika katika ufukwe wa Bondi Beach mjini Sydney katika majira ya joto Source: AAP

Nyuzijoto za Australia zinaongezeka haraka kuliko wastan ya ulimwengu.


Published

By Cassandra Bain

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Nyuzijoto za Australia zinaongezeka haraka kuliko wastan ya ulimwengu.


Na joto hilo linaweza ongezeka kwa nyuzi joto nne kufikia mwisho wa karne, kulingana na taarifa kutoka osifi yakitaifa ya hali ya hewa.

Onyo hilo limejiri wakati ripoti mpya kutoka kwa watafiti huru, imepata kuwa majira ya joto ya Australia yanaendelea kwa muda mara mbili zaidi sawa na majira ya baridi.

Kwa upande wayo serikali ya shirikisho imeweka malengo yakupunguza, uzalishaji wake wa hewa chafu kwa kati ya 26% hadi 28% kutoka viwango vya mwaka 2005 kufikia mwaka wa 2030.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now