Nyuzijoto za Australia zinaongezeka haraka kuliko wastan ya ulimwengu.
Na joto hilo linaweza ongezeka kwa nyuzi joto nne kufikia mwisho wa karne, kulingana na taarifa kutoka osifi yakitaifa ya hali ya hewa.
Onyo hilo limejiri wakati ripoti mpya kutoka kwa watafiti huru, imepata kuwa majira ya joto ya Australia yanaendelea kwa muda mara mbili zaidi sawa na majira ya baridi.
Kwa upande wayo serikali ya shirikisho imeweka malengo yakupunguza, uzalishaji wake wa hewa chafu kwa kati ya 26% hadi 28% kutoka viwango vya mwaka 2005 kufikia mwaka wa 2030.
Share





