Majira ya joto ya Australia yaendelea kuwa marefu, wakati majira ya baridi yakuwa mafupi

Watu wajumuika katika ufukwe wa Bondi Beach mjini Sydney katika majira ya joto

Watu wajumuika katika ufukwe wa Bondi Beach mjini Sydney katika majira ya joto Source: AAP

Nyuzijoto za Australia zinaongezeka haraka kuliko wastan ya ulimwengu.


Na joto hilo linaweza ongezeka kwa nyuzi joto nne kufikia mwisho wa karne, kulingana na taarifa kutoka osifi yakitaifa ya hali ya hewa.

Onyo hilo limejiri wakati ripoti mpya kutoka kwa watafiti huru, imepata kuwa majira ya joto ya Australia yanaendelea kwa muda mara mbili zaidi sawa na majira ya baridi.

Kwa upande wayo serikali ya shirikisho imeweka malengo yakupunguza, uzalishaji wake wa hewa chafu kwa kati ya 26% hadi 28% kutoka viwango vya mwaka 2005 kufikia mwaka wa 2030.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service