Maandamano hayo nisehemu ya ongezeko la wimbi la hasira duniani, kwa kifo cha mwanaume mweusi George Floyd nchini Marekani pamoja na ukatili wa jeshi la polisi.
Makumi yamaelfu washiriki katika maandamano dhidi ya mauaji ya weusi gerezani Australia

Source: AAP
Makumi yamaelfu yawa Australia wameshiriki katika maandamano yakupinga ubaguzi wa rangi wakisema kwa sauti kubwa Black Lives Matter.
Share