Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Makumi yamaelfu washiriki katika maandamano dhidi ya mauaji ya weusi gerezani Australia

Black Lives Matter

Makumi yamaelfu yawa Australia wameshiriki katika maandamano yakupinga ubaguzi wa rangi wakisema kwa sauti kubwa Black Lives Matter.


Published

By Biwa Kwan

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Makumi yamaelfu yawa Australia wameshiriki katika maandamano yakupinga ubaguzi wa rangi wakisema kwa sauti kubwa Black Lives Matter.


Maandamano hayo nisehemu ya ongezeko la wimbi la hasira duniani, kwa kifo cha mwanaume mweusi George Floyd nchini Marekani pamoja na ukatili wa jeshi la polisi.

Waandamanaji wamesema wanatumai kifo cha Bw Floyd, kitasababisha hatua ichukuliwe kumaliza vifo vya waAustralia wakwanza wakiwa gerezani nchini Australia.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now