Mamba anaswa ndani ya maji ya mafuriko Kaskazini Queensland

An aerial view of flooding in Gympie, Queensland, Saturday, February 26, 2022

An aerial view of flooding in Gympie, Queensland, Saturday, February 26, 2022. Source: AAP

Mamlaka wame pata mamba wa maji ya chumvi mwenye urefu wa 2.5m, ndani ya mji wa Ingham ambao uko Kaskazini Queensland baada ya mto wa eneo hilo kufurika.


Mji wa Ingham ume tengwa kutoka upande wa kaskazini na kusini kwa sababu ya mafuriko yanayo endelea, yaliyo sababishwa na kimbunga cha tropiki Jasper, pamoja na mvua nzito ambayo ime athiri maeneo ya Kaskazini Queensland kwa siku kadhaa.

Imeripotiwa kuwa ukanda wa Kaskazini Queensland ume shuhudia kiwango cha mvua inayo nyesha kwa muda wa mwaka mmoja katika siku chache, kufuatia kimbunga cha tropiki Jasper.

Mvua inatabiriwa kuendelea kunyesha kwa angalau masaa mengine 24, viwango vya maji vikitarajiwa kuvunja rekodi za 1977.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service