SKIP TO MAIN CONTENT

Mamia wapoteza maisha na makazi katika mafuriko, Uvira DR Congo

Walinda amani wa MONUSCO washiriki katika harakati zauokozi katika mafuriko mjini Uvira, DR Congo
Walinda amani wa MONUSCO washiriki katika harakati zauokozi katika mafuriko mjini Uvira, DR Congo Source: MONUSCO

Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Skip to podcast episode content

Huzuni, simanzi na majonzi hayo yamesababishwa na mafuriko ambayo yame dai makumi yamaisha yawatu pamoja na mamia ya nyumba kusombwa na mafuriko hayo katika ya wiki iliyopita.

Aila ni mkaazi wa mji wa Uvira, yeye pamoja na familia yake walilazimishwa kuokoa maisha yao usiku wamanane, mafuriko hayo yalipo fika katika eneo wanako ishi ghafla.

Bi Aila, alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS Kuhusu yaliyo wafikia.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now