Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Manchester United wala 6 nyumbani

Manchester United v Tottenham

Serge Aurier wa Tottenham asherehekea goli lake dhidi ya Manchester United, katika uwanja wa Old Trafford, Manchester. Source: Getty Images

Msimu mpya wa ligi kuu ya England unaendelea kuwashangaza mashabiki wa timu zinazo shiriki.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Msimu mpya wa ligi kuu ya England unaendelea kuwashangaza mashabiki wa timu zinazo shiriki.


Manchester United walikuwa wenyeji wa Tottenham Hotspur FC ambao mwalimu wao Jose Mourinho ni mwalimu wa zamani wa Manchester United.

Katika mechi ya msimu uliopita kati ya timu hizo mbili, wenyeji waliibuka washindi, ila mreno huyo alikuwa na mipango tofauti kwa mechi ya msimu huu.

Mwanaspoti wetu Frank Mtao, alizungumza na Gode Migerano kuhusu hali inavyo endelea, katika ligi kuu ya mpira wa miguu ya England.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now