Manchester United wala 6 nyumbani

Manchester United v Tottenham

Serge Aurier wa Tottenham asherehekea goli lake dhidi ya Manchester United, katika uwanja wa Old Trafford, Manchester. Source: Getty Images

Msimu mpya wa ligi kuu ya England unaendelea kuwashangaza mashabiki wa timu zinazo shiriki.


Manchester United walikuwa wenyeji wa Tottenham Hotspur FC ambao mwalimu wao Jose Mourinho ni mwalimu wa zamani wa Manchester United.

Katika mechi ya msimu uliopita kati ya timu hizo mbili, wenyeji waliibuka washindi, ila mreno huyo alikuwa na mipango tofauti kwa mechi ya msimu huu.

Mwanaspoti wetu Frank Mtao, alizungumza na Gode Migerano kuhusu hali inavyo endelea, katika ligi kuu ya mpira wa miguu ya England.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service