Utafiti huo umejiri wakati shinikizo linaendelea kuongezeka kwa serikali, iongeze kiwango cha mafao hayo yakutokuwa na ajira.
Viongozi wabiashara nao pia, wame toa wito kwa kiwango cha malipo ya Newstart, kiongezwe kwa sababu hatua hiyo itapiga jeki uchumi wa taifa.