Wapokeaji wengi wa Newstart wana lala njaa, kwa ajili yaku okoa $40 kila siku

A man enter a Centrelink branch in Australia

A man enter a Centrelink branch in Australia Source: AAP

Utafiti mpya umepata kuwa watu wengi wanao pokea malipo ya Newstart, wanachagua kuishi bila chakula na huduma zingine, ili waweze mudu maisha kwa dola 40 kila siku.


Utafiti huo umejiri wakati shinikizo linaendelea kuongezeka kwa serikali, iongeze kiwango cha mafao hayo yakutokuwa na ajira.

Viongozi wabiashara nao pia, wame toa wito kwa kiwango cha malipo ya Newstart, kiongezwe kwa sababu hatua hiyo itapiga jeki uchumi wa taifa.

Hata hivyo Bw Morrison amesema, makato ya kodi ya serikali ya mseto kwa, wanao pokea mapato ya nchini na wastan, yatafanya hivyo pia.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service