Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wapokeaji wengi wa Newstart wana lala njaa, kwa ajili yaku okoa $40 kila siku

A man enter a Centrelink branch in Australia

A man enter a Centrelink branch in Australia Source: AAP

Utafiti mpya umepata kuwa watu wengi wanao pokea malipo ya Newstart, wanachagua kuishi bila chakula na huduma zingine, ili waweze mudu maisha kwa dola 40 kila siku.


Published

Updated

By Evan Young, Rosemary Bolger

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Utafiti mpya umepata kuwa watu wengi wanao pokea malipo ya Newstart, wanachagua kuishi bila chakula na huduma zingine, ili waweze mudu maisha kwa dola 40 kila siku.


Utafiti huo umejiri wakati shinikizo linaendelea kuongezeka kwa serikali, iongeze kiwango cha mafao hayo yakutokuwa na ajira.

Viongozi wabiashara nao pia, wame toa wito kwa kiwango cha malipo ya Newstart, kiongezwe kwa sababu hatua hiyo itapiga jeki uchumi wa taifa.

Hata hivyo Bw Morrison amesema, makato ya kodi ya serikali ya mseto kwa, wanao pokea mapato ya nchini na wastan, yatafanya hivyo pia.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now