Lakini maswali yanabaki juu ya uwezo mdogo wa taifa la Mashariki ya Kati kuwa mwenyeji wa tukio kubwa la michezo duniani.
Maswali mengi yasalia kuhusu kombe la dunia la 2022 nchini Qatar

Mfano wa uwanja wa soka, utakao tumiwa katika kombe la dunia la 2022 nchini Qatar Source: AAP
Kombe la Dunia la 2018 limekuwa sehemu ya mafanikio kwa Urusi, na matarajio yamewekwa juu ya mwenyeji anayefuata, Qatar.
Share




