Maswali mengi yasalia kuhusu kombe la dunia la 2022 nchini Qatar

Mfano wa uwanja wa soka, utakao tumiwa katika kombe la dunia la 2022 nchini Qatar

Mfano wa uwanja wa soka, utakao tumiwa katika kombe la dunia la 2022 nchini Qatar Source: AAP

Kombe la Dunia la 2018 limekuwa sehemu ya mafanikio kwa Urusi, na matarajio yamewekwa juu ya mwenyeji anayefuata, Qatar.


Lakini maswali yanabaki juu ya uwezo mdogo wa taifa la Mashariki ya Kati kuwa mwenyeji wa tukio kubwa la michezo duniani.

Kuna maswali sio tu kutokana na mtazamo wa miundombinu, lakini pia kuhusu jinsi ya kuhakikisha taifa la kiitikadi za kiislamu linaweza kuwa mwenyeji wa kile ulimwengu unachozingatia kuwa mashindano yasiyo ya ubaguzi.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service