Marekani imetumia makombora kushambulia kiwanja cha ndege kinacho dhibitiwa na serikali ya Syria, baada ya silaha za kemikali kutumiwa dhidi ya umma. Rais Bashar al Assad, analaumiwa kwaku agiza shambulizi hilo.
Maafisa nchini Marekani wamesema makombora aina ya Tomahawk takriban 60 yame fyatuliwa kutoka meli zakijeshi ambazo ziko katika bahari la Mediterranea.
Share





