Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Marekani ya shambulia uwanja wa ndege wa jeshi la Syria

Uwanja wa ndege wa Al Shayrat wa jeshi la Syria baada yaku gongwa kwa makombora ya Tomahawk ya Marekani
Uwanja wa ndege wa Al Shayrat wa jeshi la Syria baada yaku gongwa kwa makombora ya Tomahawk ya Marekani Source: Picha:DigitalGlobe/AP

Marekani imetumia makombora kushambulia kiwanja cha ndege kinacho dhibitiwa na serikali ya Syria, baada ya silaha za kemikali kutumiwa dhidi ya umma. Rais Bashar al Assad, analaumiwa kwaku agiza shambulizi hilo.


Published

By SBS Swahlii

Source: SBS


Share this with family and friends


Marekani imetumia makombora kushambulia kiwanja cha ndege kinacho dhibitiwa na serikali ya Syria, baada ya silaha za kemikali kutumiwa dhidi ya umma. Rais Bashar al Assad, analaumiwa kwaku agiza shambulizi hilo.


Maafisa nchini Marekani wamesema makombora aina ya Tomahawk takriban 60 yame fyatuliwa kutoka meli zakijeshi ambazo ziko katika bahari la Mediterranea.

 

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now