Marekani ya shambulia uwanja wa ndege wa jeshi la Syria

Uwanja wa ndege wa Al Shayrat wa jeshi la Syria baada yaku gongwa kwa makombora ya Tomahawk ya Marekani

Uwanja wa ndege wa Al Shayrat wa jeshi la Syria baada yaku gongwa kwa makombora ya Tomahawk ya Marekani Source: Picha:DigitalGlobe/AP

Marekani imetumia makombora kushambulia kiwanja cha ndege kinacho dhibitiwa na serikali ya Syria, baada ya silaha za kemikali kutumiwa dhidi ya umma. Rais Bashar al Assad, analaumiwa kwaku agiza shambulizi hilo.


Maafisa nchini Marekani wamesema makombora aina ya Tomahawk takriban 60 yame fyatuliwa kutoka meli zakijeshi ambazo ziko katika bahari la Mediterranea.

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service