Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Martin" Urusi haijali maslahi yawa Afrika"

Kongamano la Urusi na mataifa ya Afrika mjini St Petersburg 2023.jpg

Kati ya 27-28 Julai, Rais Putin wa Urusi alikuwa mwenyeji wa kongamano la Urusi na mataifa ya Afrika mjini St Petersburg.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Kati ya 27-28 Julai, Rais Putin wa Urusi alikuwa mwenyeji wa kongamano la Urusi na mataifa ya Afrika mjini St Petersburg.


Zaidi ya viongozi 40 wa nchi za Afrika, wali hudhuria kongamano hilo miongoni mwao wakiwa viongozi wa nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki.

Kongamano hilo lilifanyika wakati kuna juhudi kutoka mataifa ya magharibi na China, kuwa na ushawishi barani Afrika.

Bw Martin ni mwanasheria, na pia ni mchambuzi wa maswala ya nchini Kenya. Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, alifafanua sababu za Urusi kuandaa kongamano hilo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now