Martin" Urusi haijali maslahi yawa Afrika"

Kongamano la Urusi na mataifa ya Afrika mjini St Petersburg 2023.jpg

Kati ya 27-28 Julai, Rais Putin wa Urusi alikuwa mwenyeji wa kongamano la Urusi na mataifa ya Afrika mjini St Petersburg.


Zaidi ya viongozi 40 wa nchi za Afrika, wali hudhuria kongamano hilo miongoni mwao wakiwa viongozi wa nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki.

Kongamano hilo lilifanyika wakati kuna juhudi kutoka mataifa ya magharibi na China, kuwa na ushawishi barani Afrika.

Bw Martin ni mwanasheria, na pia ni mchambuzi wa maswala ya nchini Kenya. Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, alifafanua sababu za Urusi kuandaa kongamano hilo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service