Kisa hicho kime tokea katika kanisa la First Baptist katika mji wa Sutherland Springs, ambao uko kilomita 65 Mashariki ya mji wa San Antonio, wakati wa ibada ya asubuhi ya Jumapili.
Ime ripotiwa mshambuliaji ni mzungu mwenye umri wa miaka 26, alipatwa ame fariki kwa risasi ndani ya gari yake kilomita chache na sehemu ya shambulizi.





