Watu 26 wauawa kwa kupigwa risasi kanisani Texas, Marekani

Maafisa wa usalama wafanya uchunguzi nje ya kanisa la First Baptist, Sutherland Springs, Texas, Marekani

Maafisa wa usalama wafanya uchunguzi nje ya kanisa la First Baptist, Sutherland Springs, Texas, Marekani Source: AAP

Watu wapatao 26 wame fariki baada ya mshambuliaji kuwa miminia risasi waumini waliokuwa kanisani katika eneo la Kusini Mashariki ya mji wa Texas.


Kisa hicho kime tokea katika kanisa la First Baptist katika mji wa Sutherland Springs, ambao uko kilomita 65 Mashariki ya mji wa San Antonio, wakati wa ibada ya asubuhi ya Jumapili.

Ime ripotiwa mshambuliaji ni mzungu mwenye umri wa miaka 26, alipatwa ame fariki kwa risasi ndani ya gari yake kilomita chache na sehemu ya shambulizi.

Gavana wa Texas amesema hilo ndilo tendo kubwa zaidi la shambulizi katika historia ya Texas.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service