Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Watu 26 wauawa kwa kupigwa risasi kanisani Texas, Marekani

Maafisa wa usalama wafanya uchunguzi nje ya kanisa la First Baptist, Sutherland Springs, Texas, Marekani

Maafisa wa usalama wafanya uchunguzi nje ya kanisa la First Baptist, Sutherland Springs, Texas, Marekani Source: AAP

Watu wapatao 26 wame fariki baada ya mshambuliaji kuwa miminia risasi waumini waliokuwa kanisani katika eneo la Kusini Mashariki ya mji wa Texas.


Published

By Evan Young

Presented by SBS Swahili

Source: SBS




Share this with family and friends


Watu wapatao 26 wame fariki baada ya mshambuliaji kuwa miminia risasi waumini waliokuwa kanisani katika eneo la Kusini Mashariki ya mji wa Texas.


Kisa hicho kime tokea katika kanisa la First Baptist katika mji wa Sutherland Springs, ambao uko kilomita 65 Mashariki ya mji wa San Antonio, wakati wa ibada ya asubuhi ya Jumapili.

Ime ripotiwa mshambuliaji ni mzungu mwenye umri wa miaka 26, alipatwa ame fariki kwa risasi ndani ya gari yake kilomita chache na sehemu ya shambulizi.

Gavana wa Texas amesema hilo ndilo tendo kubwa zaidi la shambulizi katika historia ya Texas.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now