Meya wa vitongoji vya Melbourne wasimama bega kwa bega na jamii yawasudani wakusini

Meya wa mji wa Melton Bob Turner (kushoto) azungumza na kiongozi katika jamii yawatu wa Sudan Kusini Maker Mayek (kulia).

Meya wa mji wa Melton Bob Turner (kushoto) azungumza na kiongozi katika jamii yawatu wa Sudan Kusini Maker Mayek (kulia). Source: AAP

Idadi yawa meya wa nane wa vitongoji vya maeneo ya Melbourne, wame kuja pamoja kuonesha ushikamano na jamii yawatu wa Sudan Kusini wanao ishi Victoria, baada ya kile wanacho sema ni wimbi la taarifa mbaya toka kwa vyombo vya habari pamoja na mijadala yakisiasa.


Viongozi hao wame sema tisho la vurugu toka kwa wa Australia wenye asili ya Afrika, kwa ujumla ina ongezewa chumv hususan wakati viwango vya vurugu katika jamii hizo vina endelea kupungua.

Ahmed Hassan ndiye mkurugenzi wa shirika la Youth Activating Youth, amesema suluhu litapatikana, kwaku wajumuisha vijana ambao walikuwa wame tengwa, katika elimu na ajira.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service