Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Meya wa vitongoji vya Melbourne wasimama bega kwa bega na jamii yawasudani wakusini

Meya wa mji wa Melton Bob Turner (kushoto) azungumza na kiongozi katika jamii yawatu wa Sudan Kusini Maker Mayek (kulia).

Meya wa mji wa Melton Bob Turner (kushoto) azungumza na kiongozi katika jamii yawatu wa Sudan Kusini Maker Mayek (kulia). Source: AAP

Idadi yawa meya wa nane wa vitongoji vya maeneo ya Melbourne, wame kuja pamoja kuonesha ushikamano na jamii yawatu wa Sudan Kusini wanao ishi Victoria, baada ya kile wanacho sema ni wimbi la taarifa mbaya toka kwa vyombo vya habari pamoja na mijadala yakisiasa.


Published

By Abby Dinham

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Idadi yawa meya wa nane wa vitongoji vya maeneo ya Melbourne, wame kuja pamoja kuonesha ushikamano na jamii yawatu wa Sudan Kusini wanao ishi Victoria, baada ya kile wanacho sema ni wimbi la taarifa mbaya toka kwa vyombo vya habari pamoja na mijadala yakisiasa.


Viongozi hao wame sema tisho la vurugu toka kwa wa Australia wenye asili ya Afrika, kwa ujumla ina ongezewa chumv hususan wakati viwango vya vurugu katika jamii hizo vina endelea kupungua.

Ahmed Hassan ndiye mkurugenzi wa shirika la Youth Activating Youth, amesema suluhu litapatikana, kwaku wajumuisha vijana ambao walikuwa wame tengwa, katika elimu na ajira.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now