Viongozi hao wame sema tisho la vurugu toka kwa wa Australia wenye asili ya Afrika, kwa ujumla ina ongezewa chumv hususan wakati viwango vya vurugu katika jamii hizo vina endelea kupungua.
Meya wa vitongoji vya Melbourne wasimama bega kwa bega na jamii yawasudani wakusini

Meya wa mji wa Melton Bob Turner (kushoto) azungumza na kiongozi katika jamii yawatu wa Sudan Kusini Maker Mayek (kulia). Source: AAP
Idadi yawa meya wa nane wa vitongoji vya maeneo ya Melbourne, wame kuja pamoja kuonesha ushikamano na jamii yawatu wa Sudan Kusini wanao ishi Victoria, baada ya kile wanacho sema ni wimbi la taarifa mbaya toka kwa vyombo vya habari pamoja na mijadala yakisiasa.
Share




