Mamlaka Victoria hawaja unganisha tukio laku tekwa nyara na ugaidi katika kitongoji kimoja cha Melbourne, ambako watu wawili, msahmbuliaji akijumuishwa wali fariki.
Idara ya polisi imesema ina aamini mwanume huyo alifanya tendo hilo mwenyewe, na hatari iliyo kuwa ime kwisha.
Ila mwanaume aliye husika katika tukio hilo, ame unganishwa na jaribio la ugaidi miaka minane iliyo pita ambako alipatwa bila kosa naku achiwa huru.
Share
