Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mamlaka yachunguza viungo vya ugaidi katika shambulizi la Melbourne

Mshukiwa wa shambulizi la Melbourne Yacqub Khayre, akiondoka mahakamani mjini Melbourne, Australia

Mshukiwa wa shambulizi la Melbourne Yacqub Khayre, akiondoka mahakamani mjini Melbourne, Australia Source: Picha:AAP/Julian Smith

Mamlaka Victoria hawaja unganisha tukio laku tekwa nyara na ugaidi katika kitongoji kimoja cha Melbourne, ambako watu wawili, msahmbuliaji akijumuishwa wali fariki.


Published

Updated

By SBS Swahlii

Source: SBS




Share this with family and friends


Mamlaka Victoria hawaja unganisha tukio laku tekwa nyara na ugaidi katika kitongoji kimoja cha Melbourne, ambako watu wawili, msahmbuliaji akijumuishwa wali fariki.


Idara ya polisi imesema ina aamini mwanume huyo alifanya tendo hilo mwenyewe, na hatari iliyo kuwa ime kwisha.

Ila mwanaume aliye husika katika tukio hilo, ame unganishwa na jaribio la ugaidi miaka minane iliyo pita ambako alipatwa bila kosa naku achiwa huru.

 

 


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now