SBS Swahili ilizungumza na Mfaume Kakozi, anaye ishi mjini Darwin ambako ni mwanafunzi na msanii chipukizi.
Mfaume alishinda mashindano ya wiki ya vijana kitaifa mwaka huu wa 2017, mashindano hayo yali husu vijnana kuchangia maeleozo kuhusu utambulisho wao wakipekee.
Kwa maelezo ya ziada kuhusu historia ya Mfaume, bonyeza hapa chini:
http://www.sbs.com.au/feature/mfaume
Share





