Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Waziri kutathmini ripoti baada ya madai kuhusu huduma ya uzeeni

Bibi atumia kifaa maalum kutembea

Bibi atumia kifaa maalum kutembea Source: Picha AAP

Serikali ya shirikisho ita chunguza upya ripoti kuhusu sekta ya huduma ya uzeeni, hatua hiyo ina jiri baada ya madai yaliyo peperushwa dhidi ya mmiliki wa kijiji cha wastaafu.


Published

Updated

By SBS Swahlii

Source: SBS




Share this with family and friends


Serikali ya shirikisho ita chunguza upya ripoti kuhusu sekta ya huduma ya uzeeni, hatua hiyo ina jiri baada ya madai yaliyo peperushwa dhidi ya mmiliki wa kijiji cha wastaafu.


Kampuni ya Aveo, ime shtumiwa kwaku watumia vibaya wazee kwaku walazimisha kulipa hela ambazo hazi lingani na huduma wanayo pokea.

Hatua hiyo ina fuata uchunguzi ulio fanywa kwa ushirikiano kati ya vyombo vya habari vya Fairfax Media na kipindi cha ABC cha 4 Corners.

Licha ya madai hayo, kampuni hiyo imetetea mikakati yake.

 

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now