Serikali ya shirikisho ita chunguza upya ripoti kuhusu sekta ya huduma ya uzeeni, hatua hiyo ina jiri baada ya madai yaliyo peperushwa dhidi ya mmiliki wa kijiji cha wastaafu.
Kampuni ya Aveo, ime shtumiwa kwaku watumia vibaya wazee kwaku walazimisha kulipa hela ambazo hazi lingani na huduma wanayo pokea.
Hatua hiyo ina fuata uchunguzi ulio fanywa kwa ushirikiano kati ya vyombo vya habari vya Fairfax Media na kipindi cha ABC cha 4 Corners.
Licha ya madai hayo, kampuni hiyo imetetea mikakati yake.
Share





