Waziri kutathmini ripoti baada ya madai kuhusu huduma ya uzeeni

Bibi atumia kifaa maalum kutembea

Bibi atumia kifaa maalum kutembea Source: Picha AAP

Serikali ya shirikisho ita chunguza upya ripoti kuhusu sekta ya huduma ya uzeeni, hatua hiyo ina jiri baada ya madai yaliyo peperushwa dhidi ya mmiliki wa kijiji cha wastaafu.


Kampuni ya Aveo, ime shtumiwa kwaku watumia vibaya wazee kwaku walazimisha kulipa hela ambazo hazi lingani na huduma wanayo pokea.

Hatua hiyo ina fuata uchunguzi ulio fanywa kwa ushirikiano kati ya vyombo vya habari vya Fairfax Media na kipindi cha ABC cha 4 Corners.

Licha ya madai hayo, kampuni hiyo imetetea mikakati yake.

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service