Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mji wa Sydney wa ahidi kuwa salama zaidi kwa wanawake nakupiga jeki uchumi wayo

Mwanaharakati wajina katika shirika la Plan International Alice Rummery

Mwanaharakati wajina katika shirika la Plan International Alice Rummery mwenye umri wa mia 23, asema aliacha kazi kwasababu ya unyanyasaji Source: Plan International

Mji wa Sydney unakarabatiwa, kuufanya uwesalama zaidi kwa wanawake na wasichana ambao wako katika athari yakunyanyaswa.


Published

Updated

By Maani Truu, Biwa Kwan

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Mji wa Sydney unakarabatiwa, kuufanya uwesalama zaidi kwa wanawake na wasichana ambao wako katika athari yakunyanyaswa.


Tume kuu ya Sydney inahamasisha biashara zote namashirika, ya ahidi kukabiliana na unyanyasaji wamitaani pamoja na vurugu dhidi ya wanawake na wasichana.Tume hiyo imesema imeunda hati yakipee ya Australia, yenye lengo lakuzuia unyanyasaji wa jinsia na vurugu.

Mashirika yanayoshiriki katika mradi huo kufikia sasa yanajumuisha mashirika kama; Transport for New South Wales, Merivale Group, Sydney Business Group na Community Housing Industry Association.

Mashirika hayo yote yatatarajiwa kutathmini nakuripoti maendeleo kwa malengo ya hati hiyo.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now