Mji wa Sydney wa ahidi kuwa salama zaidi kwa wanawake nakupiga jeki uchumi wayo

Mwanaharakati wajina katika shirika la Plan International Alice Rummery

Mwanaharakati wajina katika shirika la Plan International Alice Rummery mwenye umri wa mia 23, asema aliacha kazi kwasababu ya unyanyasaji Source: Plan International

Mji wa Sydney unakarabatiwa, kuufanya uwesalama zaidi kwa wanawake na wasichana ambao wako katika athari yakunyanyaswa.


Tume kuu ya Sydney inahamasisha biashara zote namashirika, ya ahidi kukabiliana na unyanyasaji wamitaani pamoja na vurugu dhidi ya wanawake na wasichana.Tume hiyo imesema imeunda hati yakipee ya Australia, yenye lengo lakuzuia unyanyasaji wa jinsia na vurugu.

Mashirika yanayoshiriki katika mradi huo kufikia sasa yanajumuisha mashirika kama; Transport for New South Wales, Merivale Group, Sydney Business Group na Community Housing Industry Association.

Mashirika hayo yote yatatarajiwa kutathmini nakuripoti maendeleo kwa malengo ya hati hiyo.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service