Hata hivyo, upinzani ukiongozwa na Nelson Chamisa, anakataa kukubali matokeo hayo.
Kwaku pata asilimia 50.8 ya kura katika uchaguzi huo, Bw Mnangagwa aliponea duru ya pili ya uchaguzi dhidi ya Bw Chamisa.

Rais mteule wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa Source: AP
Kwaku pata asilimia 50.8 ya kura katika uchaguzi huo, Bw Mnangagwa aliponea duru ya pili ya uchaguzi dhidi ya Bw Chamisa.

SBS World News