SKIP TO MAIN CONTENT

Mnangagwa atangazwa mshindi wa uchaguzi mkuu wa Zimbabwe

Rais mteule wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa
Rais mteule wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa Source: AP

Emmerson Mnangagwa amechaguliwa kuwa rais wa pili wa Zimbabwe, kumaanisha chama tawala cha ZANU- PF kita salia madarakani.


Published

By Matt Connellan

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Skip to podcast episode content

Emmerson Mnangagwa amechaguliwa kuwa rais wa pili wa Zimbabwe, kumaanisha chama tawala cha ZANU- PF kita salia madarakani.


Hata hivyo, upinzani ukiongozwa na Nelson Chamisa, anakataa kukubali matokeo hayo.

Kwaku pata asilimia 50.8 ya kura katika uchaguzi huo, Bw Mnangagwa aliponea duru ya pili ya uchaguzi dhidi ya Bw Chamisa.

Kwa upande wake, rais huyo mteule ame andika ujumbe katika mtandao wa twitter kuwa; "ame nyenyekezwa kwaku chaguliwa na ameelezea matokeo hayo kama mwanzo mpya wa Zimbabwe".


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now