Emmerson Mnangagwa amechaguliwa kuwa rais wa pili wa Zimbabwe, kumaanisha chama tawala cha ZANU- PF kita salia madarakani.
Hata hivyo, upinzani ukiongozwa na Nelson Chamisa, anakataa kukubali matokeo hayo.
Kwaku pata asilimia 50.8 ya kura katika uchaguzi huo, Bw Mnangagwa aliponea duru ya pili ya uchaguzi dhidi ya Bw Chamisa.
Kwa upande wake, rais huyo mteule ame andika ujumbe katika mtandao wa twitter kuwa; "ame nyenyekezwa kwaku chaguliwa na ameelezea matokeo hayo kama mwanzo mpya wa Zimbabwe".
Share






