Moise: "Tunataka walio uwa ndugu zetu Gatumba wachukuliwe hatua zakisheria"

Jamii ya Wanyamulenge wanao ishi Australia, wajumuika katika ibada yakuwakumbuka ndugu zao walio uawa katika kambi yawakimbizi ya Gatumba, Burundi.

Jamii ya Wanyamulenge wanao ishi Australia, wajumuika katika ibada yakuwakumbuka ndugu zao walio uawa katika kambi yawakimbizi ya Gatumba, Burundi. 2004.jpg

Agosti 13 ni siku ya majonzi yasiyo elezeka, kwa jamii ya wanyamulenge kote duniani.


Wanachama wa jamii hiyo wali vamiwa naku uawa kinyama usiku wa manane wa 13 Agosti, ndani ya kambi yawakimbizi ya Gatumba nchini Burundi.

Wanawake, watoto kwa wanaume walipigwa risasi, `baadhi walikatwa kwa mapanga na wengine hata kuchomwa kwa moto hadi kufa.
Wahanga wa mauaji ya Gatumba, wasaidiwa na wafanyakazi kuondoa miili ya jamaa zao walio uawa alfajiri ya 13 Agosti 2004..jpg

Wahanga wa tukio hilo, walijumuika mjini Brisbane, Jumamosi 13 Agosti ambako walishiriki katika ibada maalum, yakuwakumbuka wapendwa wao walio uawa.

Waombolezaji wajumuika katika mazishi ya wakimbizi kutoka jamii yawanyamulenge, walio uawa ndani ya kambi yawakimbizi ya Gatumba, Burundi 2004..jpg

Bw Moise ni mwenyekiti wa jamii yawanyamulenge wanao ishi Australia, ali eleza SBS Swahili ombi la jamii yake miaka 18 baada ya tukio hilo. Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Moise: "Tunataka walio uwa ndugu zetu Gatumba wachukuliwe hatua zakisheria" | SBS Swahili