Monga:"mimi ni daraja kati ya familia, wanafunzi na shule"

Bw Monga Mukasa, kabla yakupanda jukwaani katika tukio la jamii.

Bw Monga Mukasa, kabla yakupanda jukwaani katika tukio la jamii. Source: Monga Mukasa

Moja ya changamoto kubwa ambayo hukabili familia nyingi zinazo wasili nchini Australia kama wakimbizi, ni jinsi yakuwasiliana na shule za watoto wao kufuatilia maendeleo yao au panapo kuwa tatizo.


Licha ya uwepo wa misaada mingi ambayo familia hizo zinaweza tumia kurahisisha mawasiliano na shule za watoto wao, familia hizo hazi jinsi na wapi zinaweza pata misaada hiyo.

Kama sehemu yakujibu changamoto hiyo, serikali ya Victoria kupitia idara yake ya elimu imewaajiri maafisa ambao wanafanya kazi kama daraja kati ya familia, wanafunzi na shule husika. Mmoja wama afisa hao ni Bw Monga Mukasa ambaye aliweka wazi jinsi anavyo saidia familia, shule na wanafunzi jimboni Victoria.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Monga:"mimi ni daraja kati ya familia, wanafunzi na shule" | SBS Swahili