Zaidi ya wasichana 80 wa Chibok wa achiwa huru katika ubadilishanaji wa wafungwa

Baadhi ya wanafunzi wa zamani wa shule ya chibok, walio achiwa huru na wanamgambo wa Boko Haram

Baadhi ya wanafunzi wa zamani wa shule ya chibok, walio achiwa huru na wanamgambo wa Boko Haram Source: Picha: AAP

Wasichana wapatao 82 wa Nigeria walio achiwa huru na wanamgambo wa Boko Haram wame wasili mjini Abuja, ambako wame lakiwa na rais wa taifa hilo.


Wasichana hao walikuwa miongoni mwa wanafunzi wapatao 200, walio tekwa nyara kutoka mji wa Chibok ambao uko katika eneo la Kaskazini mashariki ya Nigeria miaka mitatu iliyo pita.

Wasichana hao wali achiwa huru chini ya mpango waku badilishana wafungwa na makamanda wa wanamgambo hao.

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service