Wasichana wapatao 82 wa Nigeria walio achiwa huru na wanamgambo wa Boko Haram wame wasili mjini Abuja, ambako wame lakiwa na rais wa taifa hilo.
Wasichana hao walikuwa miongoni mwa wanafunzi wapatao 200, walio tekwa nyara kutoka mji wa Chibok ambao uko katika eneo la Kaskazini mashariki ya Nigeria miaka mitatu iliyo pita.
Wasichana hao wali achiwa huru chini ya mpango waku badilishana wafungwa na makamanda wa wanamgambo hao.
Share





