Wachambuzi wasema utayari wa Morrison kusaidia uchunguzi wa Trump, dhidi ya Mueller ni 'wazo baya'

US President Donald Trump welcomes Prime Minister Scott Morrison to the White House.

Prime Minister Scott Morrison strengthened his close personal relationship with Donald Trump during a recent state visit to the US. Source: Getty

Scott Morrison amevutwa katika kashfa inayo endelea yakumwondoa mamlakani rais wa marekani, baada ya taarifa kuvuja kuwa alikubali ombi kutoka kwa Donald Trump, kufanya uchunguzi wenye lengo lakuchafua sifa ya uchunguzi wa Mueller.


Wachambuzi wa siasa nchini Marekani wamedokeza kuwa waziri mkuu aliweka uhusiano wake binafsi, na rais wa marekani juu ya maslahi ya Australia katika mazungumzo yake kwa simu.

Taarifa hiyo ya Australia baadae ilitumwa kwa serikali ya marekani baada ya FBI, kuanza kufanya uchunguzi kuhusu udukuzi wa urusi kwa barua pepe za Hillary Clinton. Uchunguzi huo ulisaidia kuanzisha uchunguzi wa Mueller kuhusu viungo kati ya kampeni ya Trump na urusi. Bw Downer ali eleza shirika la habari la ABC kuwa, hana taarifa yoyote kuhusu mawasiliano ya hivi karibuni kati ya Bw Trump na Bw Morrison.

Kwa muda mrefu bw Trump amepuuza uchunguzi wa Mueller, nakudai kuwa ripoti ya mwisho ili baini hana kosa.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Wachambuzi wasema utayari wa Morrison kusaidia uchunguzi wa Trump, dhidi ya Mueller ni 'wazo baya' | SBS Swahili