Ongezeko la idadi ya vifo katika poromoko la ardi ya zua maswali yasiyo na majibu kwa serikali ya Sierra Leone

Wafanya kazi wachimba makaburi ya walio fariki katika poromoko la ardi, Waterloo, Sierra Leone

Wafanya kazi wachimba makaburi ya walio fariki katika poromoko la ardi, Waterloo, Sierra Leone Source: Picha: AAP

Mchunguzi mkuu wa vifo wa Sierra Leone, amesema wafanyakazi wa uokoaji wame fukua miili takriban 500, tangu maporomoko ya ardhi yalipotokea wiki iliyo pita karibu na mji mkuu wa Freetown.


Moja ya janga kubwa linalo husu mafuriko barani Afrika katika miaka ya hivi karibuni, lili tokea wakati upande wa Mlima Sugar Loaf ulipo vunjika jumatatu iliyo pita, baada ya mvua kali kunyesha, nakuzika sehemu za eneo la Regent Town pamoja naku fanya juhudi za uokoaji kuwa ngumu, katika moja ya nchi masikini zaidi duniani.

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service