Mamilioni ya dola yawekezwa katika shule za jamii zinazo funza lugha za asili

Kiongozi wa NSW Gladys Berejiklian akizindua mradi wa masomo ya lugha pamoja na watoto kutoka tamaduni tofauti

Kiongozi wa NSW Gladys Berejiklian akizindua mradi wa masomo ya lugha pamoja na watoto kutoka tamaduni tofauti Source: SBS

Moja ya jimbo nchini Australia lenye tamaduni nyingi zaidi, lime fanya uwekezaji wa mamilioni ya dola kwa madarasa ya lugha katika jamii.


Wanafunzi hao hufunzwa na walimu elfu mbili mia tano.

Idadi ya wanafunzi elfu 34 jimboni NSW hujifunza lugha ya pili baada ya masaa ya shule.

Kiongozi wa NSW ame ahidi kuwa wanafunzi wote katika mradi huo, watapewa msaada wakutosha.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service