Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mamilioni ya dola yawekezwa katika shule za jamii zinazo funza lugha za asili

Kiongozi wa NSW Gladys Berejiklian akizindua mradi wa masomo ya lugha pamoja na watoto kutoka tamaduni tofauti

Kiongozi wa NSW Gladys Berejiklian akizindua mradi wa masomo ya lugha pamoja na watoto kutoka tamaduni tofauti Source: SBS

Moja ya jimbo nchini Australia lenye tamaduni nyingi zaidi, lime fanya uwekezaji wa mamilioni ya dola kwa madarasa ya lugha katika jamii.


Published

Updated

By Omar Dabbagh

Presented by SBS Swahili, Frank Mtao

Source: SBS




Share this with family and friends


Moja ya jimbo nchini Australia lenye tamaduni nyingi zaidi, lime fanya uwekezaji wa mamilioni ya dola kwa madarasa ya lugha katika jamii.


Wanafunzi hao hufunzwa na walimu elfu mbili mia tano.

Idadi ya wanafunzi elfu 34 jimboni NSW hujifunza lugha ya pili baada ya masaa ya shule.

Kiongozi wa NSW ame ahidi kuwa wanafunzi wote katika mradi huo, watapewa msaada wakutosha.


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now