Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Musoni "Mwaka huu GLAPD imebadili maisha ya vijana wengi"

Baadhi ya wawakilishi wa jamii zinazo hudumiwa na shirika la GLAPD nchini Australia.jpg

Shirika la GLAPD limekuwa likitoa huduma kwa jamii zawatu kutoka ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, zinazo ishi nchini AUstralia kwa zaidi ya miaka sita.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Shirika la GLAPD limekuwa likitoa huduma kwa jamii zawatu kutoka ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, zinazo ishi nchini AUstralia kwa zaidi ya miaka sita.


Sawia na mashirika mengine yanayo toa huduma kwa jamii, GLAPD lina malengo pamoja na miradi ambayo huendesha kwa faida ya jamii wanachama.

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, Mkurugenzi Mtendaji wa GLAPD Bw Musoni, alifunguka kuhusu miradi ambayo shirika lake ime fanya mwaka huu, baadhi ya changamoto na mafanikio waliyo pata pamoja na miradi ambayo jamii inastahili tazamia katika mwaka ujao.

Kwa taarifa zaidi kuhusu miradi na kazi za GLAPD katika jamii, bonyeza hapa: www.glapd.org.au


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now