Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mvua ya ziada yatabiriwa mjini Sydney

Kifaa cha burudani chazungukwa na maji ya mafuriko katika kitongoji cha Camden, Kusini Magharibi Sydney, NSW.

Kifaa cha burudani chazungukwa na maji ya mafuriko katika kitongoji cha Camden, Kusini Magharibi Sydney, NSW. Source: AAP / MICK TSIKAS/AA

Maelfu ya watu wame amuriwa kuondoka wanako ishi wakati, mvua nzito inaendelea kulikabili jimbo la New South Wales, hali ambayo imefanya jimbo hilo likabiliane tena na mgogoro mkubwa wa mafuriko.


Published

Updated

By Peggy Giakoumelos, Greg Dyett

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Maelfu ya watu wame amuriwa kuondoka wanako ishi wakati, mvua nzito inaendelea kulikabili jimbo la New South Wales, hali ambayo imefanya jimbo hilo likabiliane tena na mgogoro mkubwa wa mafuriko.


Ofisi ya utabiri wa hali ya hewa, imesema mvua nzito zina weza sababisha mafuriko katika maeneo ya Illawarra, Blue Mountains, maeneo ya jiji la Sydney na katika sehemu za kanda la Hunter na wilaya za Central Coast.

Kituo cha usimamizi wa usafiri kime shauri dhidi ya safari zisizo mhimu na, kimeonya kuhusu kuchelewa namapengo katika huduma za usafiri wa umma. Watu wameshauriwa wacheleweshe safari zozote zinazo husiana na likizo za shule pia, wakati amaeneo ya pwani ya kusini yakiwa katika hatari ya mafuriko ya muda mrefu.

Mawimbi yenye urefu wa mita tano, nayo yanaweza sababisha mmonyoko katika maeneo ya pwani.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now