Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mvutano waendelea kati ya ofisi ya rais na mahakama Kenya

Rais Kenyatta akiwa nama afisa wa mahakama nchini Kenya

Rais Kenyatta akiwa nama afisa wa mahakama nchini Kenya Source: State House Kenya

Rais Uhuru Kenyatta ameshtumiwa kwa kukiuka sheria baada ya kukataa kuwateua majaji sita kati ya arobaini, walio kuwa wamependekezwa na tume ya huduma ya mahakama.


Hatua ya Rais Kenyatta imechukuliwa kama ni njia ya kuwaadhibu majaji hao, kwa misimamo na maamuzi yao. Rais Kenyatta ameshtumiwa pia kwa kukiuka amri za mahakama mara kadhaa.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili kutoka kwa waandishi wetu.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now