Mvutano waendelea kati ya ofisi ya rais na mahakama Kenya

Rais Kenyatta akiwa nama afisa wa mahakama nchini Kenya

Rais Kenyatta akiwa nama afisa wa mahakama nchini Kenya Source: State House Kenya

Rais Uhuru Kenyatta ameshtumiwa kwa kukiuka sheria baada ya kukataa kuwateua majaji sita kati ya arobaini, walio kuwa wamependekezwa na tume ya huduma ya mahakama.


Hatua ya Rais Kenyatta imechukuliwa kama ni njia ya kuwaadhibu majaji hao, kwa misimamo na maamuzi yao. Rais Kenyatta ameshtumiwa pia kwa kukiuka amri za mahakama mara kadhaa.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili kutoka kwa waandishi wetu.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service