Rais Uhuru Kenyatta ameshtumiwa kwa kukiuka sheria baada ya kukataa kuwateua majaji sita kati ya arobaini, walio kuwa wamependekezwa na tume ya huduma ya mahakama.
Hatua ya Rais Kenyatta imechukuliwa kama ni njia ya kuwaadhibu majaji hao, kwa misimamo na maamuzi yao. Rais Kenyatta ameshtumiwa pia kwa kukiuka amri za mahakama mara kadhaa.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili kutoka kwa waandishi wetu.
Share






