Mwalimu na nahodha wake watofautiana kuhusu matarajio kwa kombe la dunia

Mwalimu wa timu ya Jamhuri ya Congo ya Sydney Bw Benin akiwa na nahodha wake Bw Akram, katika uwanja wa mazoezi wa Western Sydney Wanderers FC, NS

Kombe la Afrika la Sydney, NSW lina elekea katika robo fainali na tayari timu husika zimejua kinacho wasubiri katika mechi hizo.


Vijana wa timu ya Jamhuri ya Congo walijua matokeo yoyote yasiyo ushindi yange maanisha mwisho wao katika kombe hilo. Licha yakupokea kadi mbili nyekundu katika mechi yao dhidi ya vijana wa Ghana, vijana wa Jamhuri ya Congo walitekeleza wajibu wao nakushinda mechi yao kama ilivyo takiwa.

SBS Swahili ilizungumza na Mwalimu wa timu hiyo Bw Benin pamoja na nahodha wake Bw Akram, ambao waliweka wazi walivyu kabili changamoto yakufuzu kwa robo fainali. Wawili hao walifunguka pia kuhusu kombe la dunia litakalo anza katika siku chache nchini Qatar, pamoja na matarajio kwa timu wanazo shabikia.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service