Viongozi wa benki ya NAB wajiuzulu, je kesi za uhalifu zitafuata?

Andrew Thorburn amejiuzulu kutoka wadhifa wa mkurugenzi mtendaji wa benki ya NAB

Andrew Thorburn amejiuzulu kutoka wadhifa wa mkurugenzi mtendaji wa benki ya NAB Source: AAP

Viongozi wawili maarufu wa benki ya National Australia Bank (NAB), mkurugenzi mtendaji mkuu Andrew Thorburn na mwenyekiti Ken Henry, wametangaza wanajiuzulu kutoka uongozi wa benki hiyo.


Tangazo hilo lime jiri siku chache baada ya kutolewa kwa ripoti ya tume ya uchunguzi kwama benki, ambamo wawili hao walipokea ukosoaji maalum.

Ripoti hiyo ilitoa hukumu katika sekta hiyo iliyo ongozwa kwa tamaa, pamoja nakutoa mapendekezo 76 yakutoa ulinzi bora kwa wateja pamoja naku boresha udhibiti. Ripoti hiyo ili gusia pia visa 24 vya uwezekano wa uhalifu, kwa wasimamizi wahusika wafanyie uchunguzi wa ziada.

Baada ya matangazo ya viongozi hao kujiuzulu, je hatua za ziada zakisheria zitachukuliwa dhidi yawalio kosolewa vikali kwaku shiriki katika matendo yanayo dhaniwa kuwa niya kihalifu?


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service