Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Viongozi wa benki ya NAB wajiuzulu, je kesi za uhalifu zitafuata?

Andrew Thorburn amejiuzulu kutoka wadhifa wa mkurugenzi mtendaji wa benki ya NAB

Andrew Thorburn amejiuzulu kutoka wadhifa wa mkurugenzi mtendaji wa benki ya NAB Source: AAP

Viongozi wawili maarufu wa benki ya National Australia Bank (NAB), mkurugenzi mtendaji mkuu Andrew Thorburn na mwenyekiti Ken Henry, wametangaza wanajiuzulu kutoka uongozi wa benki hiyo.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Viongozi wawili maarufu wa benki ya National Australia Bank (NAB), mkurugenzi mtendaji mkuu Andrew Thorburn na mwenyekiti Ken Henry, wametangaza wanajiuzulu kutoka uongozi wa benki hiyo.


Tangazo hilo lime jiri siku chache baada ya kutolewa kwa ripoti ya tume ya uchunguzi kwama benki, ambamo wawili hao walipokea ukosoaji maalum.

Ripoti hiyo ilitoa hukumu katika sekta hiyo iliyo ongozwa kwa tamaa, pamoja nakutoa mapendekezo 76 yakutoa ulinzi bora kwa wateja pamoja naku boresha udhibiti. Ripoti hiyo ili gusia pia visa 24 vya uwezekano wa uhalifu, kwa wasimamizi wahusika wafanyie uchunguzi wa ziada.

Baada ya matangazo ya viongozi hao kujiuzulu, je hatua za ziada zakisheria zitachukuliwa dhidi yawalio kosolewa vikali kwaku shiriki katika matendo yanayo dhaniwa kuwa niya kihalifu?


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now