Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Naibu Waziri Mkuu awashambulia wanaharakati wa mazingira nakuwaita wehu wa mjini

Naibu Waziri Mkuu Michael McCormack akutana na maafisa wazimamoto na huduma za dharura wa Queensland

Naibu Waziri Mkuu Michael McCormack akutana na maafisa wazimamoto na huduma za dharura wa Queensland Source: AAP

Mgogoro wa moto wa vichaka unao endelea katika majimbo ya New South Wales na Queensland, umezua vita vya maneno kisiasa kuhusu kama kutokuchukua hatua kwa mabadiliko ya tabianchi kumesababisha janga hilo.


Published

Updated

By Gareth Boreham, Brett Mason

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Mgogoro wa moto wa vichaka unao endelea katika majimbo ya New South Wales na Queensland, umezua vita vya maneno kisiasa kuhusu kama kutokuchukua hatua kwa mabadiliko ya tabianchi kumesababisha janga hilo.


Naibu waziri mkuu amewakashifu wakosoaji wa sera zake, akisema ni wehu wanao ishi katika maeneo ya ndani ya jiji.

Ila madai hayo yame wakasirisha wanao athiriwa moja kwa moja na janga hilo la moto.

Hata hivyo, inaonekana kama siasa za mabadiliko ya tabianchi, zitaendelea kuchemka katika msimu wa majira ya joto, wakati tisho la moto wa vichaka likiendelea kuongezeka.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now