Naibu waziri mkuu amewakashifu wakosoaji wa sera zake, akisema ni wehu wanao ishi katika maeneo ya ndani ya jiji.
Ila madai hayo yame wakasirisha wanao athiriwa moja kwa moja na janga hilo la moto.
Naibu Waziri Mkuu Michael McCormack akutana na maafisa wazimamoto na huduma za dharura wa Queensland Source: AAP
Ila madai hayo yame wakasirisha wanao athiriwa moja kwa moja na janga hilo la moto.
SBS World News