SBS Swahili ilizungumza na mchungaji Nava Ozegbe ambaye ndiye mwanzilishi wa shirika la Nakango Vision kuhusu tukio hilo.
Tamasha hiyo ita anza saa tisa mchana hadi saa kumi na mbili jioni, anwani ya sehemu ambako tamasha hiyo ita andaliwa ni 25 Barbara Street, Fairfield, NSW, Australia.