Nchi za Afrika Mashariki na Kati zinakwama wapi, kufuzu kwa kombe la dunia?

World Cup - Zaire v Brazil

Pambano la Zaire dhidi ya Brazil katika kombe la dunia la FIFA Juni 22, 1974 katika uwanja wa Parkstadion mjini Gelsenkirchen, Ujerumani. Credit: VI-Images via Getty Images

Nchi ya kwanza naya mwisho kufuzu kwa kombe la dunia la FIFA ilikuwa Zaire (Jamuhuri yakidemokrasia ya Kongo).


Miaka 48 baadae, harakati zakufuzu kwa kombe la dunia katika kanda hilo zina endelea bila mafanikio.

Kujua sehemu nchi za kanda hilo zinakwama katika juhudi zao zakufuzu kwa kombe la dunia, mchambuzi wamichezo wa SBS Swahili Frank Mtao aliweka wazi baadhi ya matatizo yanayo kumba mataifa hayo yanapo jaribu kufuzu kwa kombe la dunia.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service