Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Nchi za Afrika Mashariki na Kati zinakwama wapi, kufuzu kwa kombe la dunia?

World Cup - Zaire v Brazil

Pambano la Zaire dhidi ya Brazil katika kombe la dunia la FIFA Juni 22, 1974 katika uwanja wa Parkstadion mjini Gelsenkirchen, Ujerumani. Credit: VI-Images via Getty Images

Nchi ya kwanza naya mwisho kufuzu kwa kombe la dunia la FIFA ilikuwa Zaire (Jamuhuri yakidemokrasia ya Kongo).


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Nchi ya kwanza naya mwisho kufuzu kwa kombe la dunia la FIFA ilikuwa Zaire (Jamuhuri yakidemokrasia ya Kongo).


Miaka 48 baadae, harakati zakufuzu kwa kombe la dunia katika kanda hilo zina endelea bila mafanikio.

Kujua sehemu nchi za kanda hilo zinakwama katika juhudi zao zakufuzu kwa kombe la dunia, mchambuzi wamichezo wa SBS Swahili Frank Mtao aliweka wazi baadhi ya matatizo yanayo kumba mataifa hayo yanapo jaribu kufuzu kwa kombe la dunia.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now