Timu ya soka ya Tanzania ili ingia katika robo fainali ya kombe la Afrika la Sydney, ikiwa na matumaini mengi.
SBS Swahili ilizungumza na mashabiki pamoja na wachezaji na wakufunzi wa timu ya Tanzania punde baada ya mechi hiyo kukamilika.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili ya mechi hiyo.
Share





