Wachezaji wa timu ya Tanzania katika michuano ya kombe ya Afrika ya Sydney, NSW Source: ANSA African Cup2019Timu ya soka ya Tanzania ili ingia katika robo fainali ya kombe la Afrika la Sydney, ikiwa na matumaini mengi.
Published
Updated
By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS
Skip to podcast episode content
Share this with family and friends
Timu ya soka ya Tanzania ili ingia katika robo fainali ya kombe la Afrika la Sydney, ikiwa na matumaini mengi.
SBS Swahili ilizungumza na mashabiki pamoja na wachezaji na wakufunzi wa timu ya Tanzania punde baada ya mechi hiyo kukamilika.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili ya mechi hiyo.