Karibu wanawake wote hujihisi hawako salama katika miji kwa sababu ya unyanyasaji wa kijinsia

Pedestrians walk through Sydney's Circular Quay precinct

Pedestrians walk through Sydney's Circular Quay precinct Source: AAP

Utafiti mpya umebaini kuwa, idadi kubwa ya wanawake wadogo na wasichana duniani kote, wanajihisi hawako salama mijini kwa sababu ya unyanyasaji wa mara kwa mara, na mara nyingi, unyanyasaji wa kijinsia. Mpango wa Shirika la misaada wa Kimataifa unasema matokeo haya yanaonyesha mitaa ya jiji na usafiri wa umma ni sehemu zinazohitaji uangalizi. Frank Mtao anatutaarifu zaidi.



Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service