Muundo wa Ndege mpya ya Boeing wachunguzwa baada ya ajali kubwa iliyogharimu maisha

Watu 157 wafariki katika ajali ya ndege ya Ethiopian Airlines

Mabaki ya ndege ya Ethiopian Airlines Boeing 737 Max 8, iliyo anguka iki elekea Nairobi (AAP) Source: AAP

Ndege ya shirika la ndege la Ethiopia, ilipata ajali, dakika sita baada yakupaa angani kutoka uwanja wa ndege wa mji mkuu, nakupelekea vifo vya watu wote waliokuwemo ndani.


Ndege hiyo ilikuwa ni aina ya Boeing 737 MAX-8, ambayo ni ndege mpya inayokabiliwa kwa ukosoaji mwingine, baada ya ndege nyingine kama hiyo kuhusika katika ajali katika kipindi cha muda wa miezi sita.

Wakati huo huo msemaji wa Boeing amesema timu ya kiufundi, itatembelea eneo la ajali hiyo, kutoa msaada wa kiufundi.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service