Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Muundo wa Ndege mpya ya Boeing wachunguzwa baada ya ajali kubwa iliyogharimu maisha

Watu 157 wafariki katika ajali ya ndege ya Ethiopian Airlines

Mabaki ya ndege ya Ethiopian Airlines Boeing 737 Max 8, iliyo anguka iki elekea Nairobi (AAP) Source: AAP

Ndege ya shirika la ndege la Ethiopia, ilipata ajali, dakika sita baada yakupaa angani kutoka uwanja wa ndege wa mji mkuu, nakupelekea vifo vya watu wote waliokuwemo ndani.


Published

Updated

By Charlotte Lam

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Ndege ya shirika la ndege la Ethiopia, ilipata ajali, dakika sita baada yakupaa angani kutoka uwanja wa ndege wa mji mkuu, nakupelekea vifo vya watu wote waliokuwemo ndani.


Ndege hiyo ilikuwa ni aina ya Boeing 737 MAX-8, ambayo ni ndege mpya inayokabiliwa kwa ukosoaji mwingine, baada ya ndege nyingine kama hiyo kuhusika katika ajali katika kipindi cha muda wa miezi sita.

Wakati huo huo msemaji wa Boeing amesema timu ya kiufundi, itatembelea eneo la ajali hiyo, kutoa msaada wa kiufundi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now