Kiongozi mkuu wa Waislamu wa Australia amesema anatumai kuwa kuwaweka vijana kuwa kipaumbele katika kazi yake, kiongozi huyo ameelezea vipaumbele vyake anapojiandaa kuanza wadhifa wake.
Sheikh Abdel Aziem Al-Afifi amekaribishwa na wanachama wa shirika la jamii za Imani tofauti.
Share






