Kiongozi mpya wa dini lawa Islamu nchini Australia Sheikh Abdel Aziem al-Afifi azungumza katika ibada Source: SBS
Kiongozi mkuu wa Waislamu wa Australia amesema anatumai kuwa kuwaweka vijana kuwa kipaumbele katika kazi yake, kiongozi huyo ameelezea vipaumbele vyake anapojiandaa kuanza wadhifa wake.
Kiongozi mkuu wa Waislamu wa Australia amesema anatumai kuwa kuwaweka vijana kuwa kipaumbele katika kazi yake, kiongozi huyo ameelezea vipaumbele vyake anapojiandaa kuanza wadhifa wake.
Sheikh Abdel Aziem Al-Afifi amekaribishwa na wanachama wa shirika la jamii za Imani tofauti.