Tumaini jipya laku zuia usambaaji wa saratani ya ngozi

Taasisi ya utafiti wa saratani ya ngozi

Taasisi ya utafiti wa saratani ya ngozi Source: SBS

Watafiti nchini Australia wame tangaza mafakio katika jaribio laku tibu melanoma, tangazo hilo lime ongeza matumaini kwa wanao athiriwa kwa saratani ya ngozi.


Bila shaka licha ya maendeleo hayo, baraza la saratani nchini lina endelea kuwakumbusha wananchi kuwa kuzuia ungonjwa kabla hauja kupata nimuhimu kuliko kupokea matibabu.

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service