Ripoti mpya ya baini wanawake wanaweza kabiliwa kwa matatizo yaki fedha kuliko wanaume

Hela za Australia Source: AAP
Utafiti wa waaustralia elfu mbili ambao ni waajiriwa, ume baini kuna uwezekano mkubwa wanawake hukabiliana na matatizo yakifedha kuliko wanaume, na wazazi wasio na wachumba huathiriwa zaidi.
Share




