Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Maseneta wapya kuamua hatma ya mswada wa serikali

Getty
Source: Getty

Bunge la taifa litakapo fanya kikao cha kwanza jumanne tarehe 30 Agosti, serikali ita kabiliana na seneti yenye wanachama wengi kutoka vyama vingi vidogo katika historia ya Australia.


Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Bunge la taifa litakapo fanya kikao cha kwanza jumanne tarehe 30 Agosti, serikali ita kabiliana na seneti yenye wanachama wengi kutoka vyama vingi vidogo katika historia ya Australia.


Maseneta wapya wapatao 14 wame kuwa mjini Canberra wiki hii, wakipokea mafunzo kuhusu jinsi nyumba ya juu hutumika kabla ya biashara ya siasa kuanza wiki ijayo.

Kuna uwezekano mamlaka ya masenata hao, yata jaribiwa mapema kuliiko ilivyo tarajiwa.

 


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now