Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Baraza jipya la mawaziri la Turnbull lazua mjadala

Malcolm Turnbull, (kushoto), na Tony Abbott (kulia)
Malcolm Turnbull, (kushoto), na Tony Abbott (kulia) Source: AAP

Waziri Mkuu wa Australia amezindua baraza lake mpya la mawaziri mjini Canberra, baada ya mkutano wa kwanza wa chama cha mseto tangu uchaguzi mkuu ulipo kamilika.


Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Waziri Mkuu wa Australia amezindua baraza lake mpya la mawaziri mjini Canberra, baada ya mkutano wa kwanza wa chama cha mseto tangu uchaguzi mkuu ulipo kamilika.


Katika mabadiliko ya mawaziri, Greg Hunt atakuwa waziri wa viwanda, sayansi na ubunifu wakati Christopher Pyne, amepewa uongozi wa wizara mpya wizara hiyo ikiwa ni wizara ya ulinzi.

 

 


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now