Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mjadala wa Newstart:"Ni aibu kwa watu kulala njaa nchini Australia"

Cupboard

Wakati shinikizo linaendelea kuongezeka kwa serikali, iongeze kiwango cha mafao hayo yakutokuwa na ajira, wanachama wengi katika jamii mpya nchini, wanashangaa jinsi watu wanaweza lala njaa katika nchi tajiri kama Australia.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Wakati shinikizo linaendelea kuongezeka kwa serikali, iongeze kiwango cha mafao hayo yakutokuwa na ajira, wanachama wengi katika jamii mpya nchini, wanashangaa jinsi watu wanaweza lala njaa katika nchi tajiri kama Australia.


SBS Swahili ilizungumza na kiongozi wa jamii, aliyetueleza baadhi ya changamoto zinazo wakabili baadhi ya wanachama wake wanao pokea malipo ya Newstart.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now