Wakati shinikizo linaendelea kuongezeka kwa serikali, iongeze kiwango cha mafao hayo yakutokuwa na ajira, wanachama wengi katika jamii mpya nchini, wanashangaa jinsi watu wanaweza lala njaa katika nchi tajiri kama Australia.
SBS Swahili ilizungumza na kiongozi wa jamii, aliyetueleza baadhi ya changamoto zinazo wakabili baadhi ya wanachama wake wanao pokea malipo ya Newstart.
Share






