Mjadala wa Newstart:"Ni aibu kwa watu kulala njaa nchini Australia"

Cupboard

Source: Getty

Wakati shinikizo linaendelea kuongezeka kwa serikali, iongeze kiwango cha mafao hayo yakutokuwa na ajira, wanachama wengi katika jamii mpya nchini, wanashangaa jinsi watu wanaweza lala njaa katika nchi tajiri kama Australia.


SBS Swahili ilizungumza na kiongozi wa jamii, aliyetueleza baadhi ya changamoto zinazo wakabili baadhi ya wanachama wake wanao pokea malipo ya Newstart.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service