Kiungo wa Nigeria Alex Iwobi, apewa kandi nyukundu katika mechi dhidi ya Tunisia Source: AFPMitetemeko ya ardhi ilishuhudiwa katika wikendi ya spoti kote duniani, vichapo vilitolewa ambako havikutarajiwa na ushindi kuwaponyoka walio utarajia.
Published
By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS
Skip to podcast episode contentShare this with family and friends
Mitetemeko ya ardhi ilishuhudiwa katika wikendi ya spoti kote duniani, vichapo vilitolewa ambako havikutarajiwa na ushindi kuwaponyoka walio utarajia.
Mtayarishaji wetu mkuu wa michezo Frank Mtao, alizungumza na mdau wa mchezo Bw Bob kuhusu yaliyo shuhudiwa viwanjani.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.