Nini kinatarajiwa kutoka kongamano la kitaifa la usalama wa wanawake?

SBS News in Macedonian 6 september,

Members of the Tangentyere Womens Family Safety Group from Alice Springs want to be heard. Source: AAP

Kongamano la kitaifa kuhusu usalama wa wanawake la wiki ijayo la tarehe 6 hadi 7 Septemba, ni sehemu yaku unda mchakato wa mashauriano kwa mpango mpya wakitaifa kupunguza unyanyasaji wakijinsia Australia.


Kabla ya kongamano hilo, shirika la habari la SBS lilizungumza na wataalam wanne, watetezi na wahanga kuhusu kinacho stahili toka kwenye kongamano hilo.

Wakati mpango wakwanza wakitaifa wakupunguza unyanyasaji dhidi ya wanawake na watoto wao ulipo undwa katika mwaka wa 2010, mwanamke mmoja katika wanawake watatu nchini Australia walikuwa wame pitia uzoefu wa unyanyasaji wakimwili tangu wakiwa na miaka 15, wakati karibu mwanamke mmoja kati ya wanawake tano, walikuwa wamepitia uzoefu wa unyanyasaji wa ngono.

Wasikilizaji wanao hitaji taarifa kuhusu unyanyasaji wakifamilia na ngono, au msaada wanaweza piga simu kwa namba hii: 1-800 RESPECT namba hiyo kwa ukamilifu ni 1800 737 732 na tovuti yao ni www.1800respect.org.au


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Nini kinatarajiwa kutoka kongamano la kitaifa la usalama wa wanawake? | SBS Swahili