Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Nini kinatarajiwa kutoka kongamano la kitaifa la usalama wa wanawake?

SBS News in Macedonian 6 september,

Members of the Tangentyere Womens Family Safety Group from Alice Springs want to be heard. Source: AAP

Kongamano la kitaifa kuhusu usalama wa wanawake la wiki ijayo la tarehe 6 hadi 7 Septemba, ni sehemu yaku unda mchakato wa mashauriano kwa mpango mpya wakitaifa kupunguza unyanyasaji wakijinsia Australia.


Published

By Amy Hall

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Kongamano la kitaifa kuhusu usalama wa wanawake la wiki ijayo la tarehe 6 hadi 7 Septemba, ni sehemu yaku unda mchakato wa mashauriano kwa mpango mpya wakitaifa kupunguza unyanyasaji wakijinsia Australia.


Kabla ya kongamano hilo, shirika la habari la SBS lilizungumza na wataalam wanne, watetezi na wahanga kuhusu kinacho stahili toka kwenye kongamano hilo.

Wakati mpango wakwanza wakitaifa wakupunguza unyanyasaji dhidi ya wanawake na watoto wao ulipo undwa katika mwaka wa 2010, mwanamke mmoja katika wanawake watatu nchini Australia walikuwa wame pitia uzoefu wa unyanyasaji wakimwili tangu wakiwa na miaka 15, wakati karibu mwanamke mmoja kati ya wanawake tano, walikuwa wamepitia uzoefu wa unyanyasaji wa ngono.

Wasikilizaji wanao hitaji taarifa kuhusu unyanyasaji wakifamilia na ngono, au msaada wanaweza piga simu kwa namba hii: 1-800 RESPECT namba hiyo kwa ukamilifu ni 1800 737 732 na tovuti yao ni www.1800respect.org.au


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now