Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Nini sababu ya serikali ya Kusini Australia kutimuliwa na wapiga kura?

Peter Malinauskas na mkewe Annabel washerehekea ushindi wa chama cha Labor cha Kusini Australia 2022.

Peter Malinauskas na mkewe Annabel washerehekea ushindi wa chama cha Labor cha Kusini Australia 2022. Source: AAP

Serikali tawala ya Kusini Australia ili ingia katika siku za mwisho za kampeni ikiwa na imani yakusalia mamlakani, baada ya uongozi wake kwa muda wa miaka minne.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Serikali tawala ya Kusini Australia ili ingia katika siku za mwisho za kampeni ikiwa na imani yakusalia mamlakani, baada ya uongozi wake kwa muda wa miaka minne.


Imani hiyo ilijengwa pia na jinsi serikali hiyo ilivyo simamia janga la Coronavirus, na kwa sababu hakuna serikali yoyote nchini iliyokuwa ime shindwa katika uchaguzi katika wakati huu wa janga.

Hata hivyo upinzani ulikuwa na maoni na sera tofauti ambazo, iliwauzia wapiga kura hadi dakika ya mwisho ya kampeni na matunda yake yalivunwa masaa machache baada ya vituo vya kura kufungwa kote jimboni.

Stephen Tongun ni makaaji na mwanasheria mjini Adelaide, Kusini Australia. Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS aliweka wazi baadhi ya maswala ambayo wapiga kura wengi walizingatia kabla yakupiga kura zao. Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now